


walio chini yake.
Kiongozi wa kweli akiongea, watu husikiliza.
#77nyeupe #TumeHuruYaUchaguzi
#msajiliwavyamavyasiasa #thankmelater

#77nyeupe #TumeHuruYaUchaguzi
#msajiliwavyamavyasiasa #thankmelater



mafungu yafuatayo kutokana na jinsi walivyoingia madarakani na namna wanavyoongoza kama ifuatavyo:





Ipo mitindo mbalimbali ya uongozi:
Uongozi wa kimila
Uongozi wa kidemokrasia.
Uongozi wa kiimla ni mtindo wa kuongoza ambao kiongozi huongoza kwa amri bila kushirikisha watu wengine katika kufanya maamuzi. Mara nyingi uongozi wa aina hii haulengi katika kukidhi maslahi ya



ya walio wengi, bali tu ya yule anayeongoza na wale wanaomlinda.
Uongozi wa kidemokrasia ni ule wa kushirikisha watu katika kufanya maamuzi na utekelezaji wake. Kwa kawaida viongozi wa aina hii hulenga kukidhi mahitaji ya walengwa.
Viongozi wanaochaguliwa mara nyingi huwa..


huwa wanapewa muda wa kuongoza, na wale viongozi wanaojiteua hujipatia wao wenyewe muda wa kuongoza au hata hapo watakapoamua kuachia madaraka.